Tag Archives: talent

Gospel vibes

Karanja Kimani

Susan: Susan nimwimbaji ambaye anapiga nyimbo za injili, ambapo natoka katika eneo la western.

Karanja: una albums ngapi?

Susan: kwa sasa nikona albums mbili na kuna wimbo mmoja ambao ni single song, nimeutoa.

Karanja: mipango yako kama mwimbaji wa nyimbo za injili ni ipi?

Susan: mipango yangu, ninataka niimbe na nipenye Zaidi siokwamba niwezekusikika hapa Kenya tu, bali katika maeneo mbalimbali nchi zanje, na wakati ninapoimba nataka hizo nyimbo ziwe za kumkuza mtu, ziweze kumfanya mtu yaani kama ulikuwa mnyonge, unakuwa unasikia unafarijika ndani ya moyo wako, ziwe nyimbo za kuguza.

Karanja: neno ungependa kuwaambia wanamuziki wanaochipuka.

Susan: jambo la kwanza ambalo ningetaka kuwaambia waimbaji ambao ndio wanaipuka ama matamanio yao ni kuwa wanataka wakaweze kumtukuza Mungu katika nchi za injili, jambo la kwanza, kunachangamoto, utavumilia wakati ambapo umestep mguu wako kwenye hatuahiyo, cha kwanza utavumilia challenges majaribio ni mengi, utakapo ona mwingine jambo limemtendekea, usivunjike moyo, nenda kwa magoti, mwombe Mungu mwambie Mungu, mimi katika hii safari nahitaji mimi pia nikaweze kukutukuza katika hizi nyimbo lakini haya majaribu naomba Mungu ukaweze kuniwezesha na Mungu atakuwezesha.

Venessa, assessor on East African got Talent

Karanja Kimani

The East African got talent will be kicking off on 4th August 2019. It is a platform for the East African community that is Kenya Tanzania, Uganda, Rwanda to showcase their talents including music, comedy, dancing and many more. This event saw the Bongo flava artiste from Tanzania Vanessa Mdee as part of the panel of the judges who will be on the bench alongside the other four three judges; Jeff Koinange from Kenya, Rwanda’s DJ Contact Makeda and Uganda’s Gaetano Kagwa.

Vanessa Mdee whose real name is Vanessa Hau Mdee, is a Tanzanian songwriter, activist, television presenter and radio personality. She is popularly known for her hit songs like; Cash madame, Kisela and Juu. Being the first ever MTV VJ, host of the Epic Bongo star and participating in Coke Studio Africa are the main reasons why Vanessa got the chance to be a judge in the whooping event.